Habari Kama Hizi Zinapatikana UDAKU SPECIAL App, Download HAPA Bure: Link here>>>
Anerlisa Muigai; ni pisi moja matata kutoka nchini Kenya ambaye anasema kuwa, hajui ni muda gani ambao amepanga kupata mtoto licha ya umri kumtupa mkono.
Anerlisa ambaye ni mtalaka wa staa wa RnB Bongo, Ben Pol ametoa kauli hiyo hivi karibuni wakati huu ambapo amemtambulisha mpenzi wake mpya.
Shabiki wake mmoja alimuuliza Anerlisa; “Unapanga kupata watoto lini kwa sababu unazeeka?”
Naye Anerlisa akamjibu kwa kifupi; “Hata sijui!"
Kama utakumbuka Anerlisa aligonga vichwa vya habari Afrika Mashariki baada ya kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Ben Pol.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE
________________________________
Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE
0 Comments