google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Anerlisa Kama Wema Sepetu Afunguka"Sijui Nitapata Mtoto Lini" | UDAKU SPECIAL

Anerlisa Kama Wema Sepetu Afunguka"Sijui Nitapata Mtoto Lini"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Anerlisa Muigai; ni pisi moja matata kutoka nchini Kenya ambaye anasema kuwa, hajui ni muda gani ambao amepanga kupata mtoto licha ya umri kumtupa mkono.

Anerlisa ambaye ni mtalaka wa staa wa RnB Bongo, Ben Pol ametoa kauli hiyo hivi karibuni wakati huu ambapo amemtambulisha mpenzi wake mpya.
Shabiki wake mmoja alimuuliza Anerlisa; “Unapanga kupata watoto lini kwa sababu unazeeka?”

Naye Anerlisa akamjibu kwa kifupi; “Hata sijui!"
Kama utakumbuka Anerlisa aligonga vichwa vya habari Afrika Mashariki baada ya kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Ben Pol.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad