AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
First Lady wa Konde Gang Music Worldwide Anjella Tz anasema yeye bado ni binti mdogo ndio maana yupo 'Single' kwa sababu hawezi ku-control mapenzi na kazi kwa hiyo hawezi kujihusisha na mambo hayo
Anjella anasema kwa sasa ame-focus kwenye masuala ya kazi na hataki kufa maskini hivyo lazima apambane kwanza mambo mengine ni baadaye
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK