Angella Konde Gang"Mimi Bado Binti Mdogo, Nipo Single"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



First Lady wa Konde Gang Music Worldwide Anjella Tz anasema yeye bado ni binti mdogo ndio maana yupo 'Single' kwa sababu hawezi ku-control mapenzi na kazi kwa hiyo hawezi kujihusisha na mambo hayo
Anjella anasema kwa sasa ame-focus kwenye masuala ya kazi na hataki kufa maskini hivyo lazima apambane kwanza mambo mengine ni baadaye
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad