Askofu Gwajima kutatua tatizo lililodumu zaidi ya miaka 20

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, amesema hataki kuwa kama wabunge waliopita ambao walishindwa kutatua changamoto ya mtaro wa kupitisha maji ili kuzuia mafuriko ya mara kwa mara iliyodumu kwa zaidi ya miaka 20 katika eneo la Kunduchi Pwani.
Ametoa kauli hiyo baada ya kufanya mikutano yake na wananchi wa Kunduchi Pwani, Tegeta, na Mbweni teta maeneo ambayo yamekuwa na changamoto ya mafuriko kila mara mvua inaponyesha.

Amesema atatoa fedha zake binafsi Ili kuanza kwa ujenzi huo mara moja bila kuwasubiri TARURA waje waanze kujenga kwa kuwa kama atawasubiria basi ujenzi huo utachelewa kuanza na wananchi wataendelea kupata shida.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad