AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya tetesi kuwa nyingi kuwa Kajala amerudi kwa Harmonize, tetesi hizo zimeendelea kuchukua uzito baada ya Kajala kuwadondoshea unfollows Rayvanny, Diamond pamoja na WCB nzima.
Hasa wakati Kajala analifanya hilo, mtoto wake, Paula Kajala,amempunguza mama yake kwenye Bio yake ya Instagram na kubakiza neno, Daughter of Majani (username ya Instagram ya baba yake) tofauti na mwanzo ambapo aliweka na jina la mama yake, Paula hajaishia hapo, kamuunfollow Mama yake, Na kajala pia akimuunfollow mwanaye, patamu hapo. (Swipe👉)
Haya tawanyikaaaa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK