JIUNGE NA GROUP LA TELEGRAM LA AJIRA YAKO KUPATA AJIRA MPYA ZINAZOTANGAZWA KILA SIKU BONYEZA HAPA
Kutoka kwenye mtandao wa kijamii wa Msanii Baba Levo ameonyesha kuchoshwa na kuwa chawa wa msanii na mmiliki wa rekodi lebo ya Wcb, @diamondplatnumz.
@babalevo ameandika ...✍️
"TAFADHALI BOSS NIMECHOKA KUWA CHAWA...!!
NIBADILISHE CHEO BOSS WANGUđź‘€"
0 Blogger:
Post a Comment