Hizi ni dhambi za Fashion unaweza kusema hivyo tena kwa sauti ya mtangazaji Deogratius Kithama pale kwenye Nirvana ya East Africa TV kila siku ya Alhamisi saa 3:00 usiku.
Ni muonekano wa picha mbili tofauti wa msanii Barnaba Classic na Post Malone kutoka Marekani wakiwa wametupia mavazi ya sketi vazi ambalo huvaliwa zaidi na wanawake.
Kivazi cha msanii gani kimempendeza hapo zaidi?
______
Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA