Benard Morrison Alivyoibuka Uwanjani Kama Shabiki, Ashuhudia Mechi ya Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Itakumbukwa kwamba Mabingwa watetezi, Simba SC wamefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la FA baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Pamba FC ya Mwanza.

Mabao ya Simba kwenye mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam yalifungwa na Peter Banda, Kibu Denis na
Yusufu Mhilu.

Wakati Simba ikipata matokeo hayo, Bernard Morrison alikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad