AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Itakumbukwa kwamba Mabingwa watetezi, Simba SC wamefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la FA baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Pamba FC ya Mwanza.
Mabao ya Simba kwenye mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam yalifungwa na Peter Banda, Kibu Denis na
Yusufu Mhilu.
Wakati Simba ikipata matokeo hayo, Bernard Morrison alikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK