BREAKING NEWS: Mahakama yaridhia ubunge wa kina Mdee





Dar es Salaam. Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam imeridhia wabunge 19 wa Viti Maalum ambao wamevuliwa uanachama na Chadema kuendelea na ubunge mpaka maombi yao ya kibali cha kufungua kesi kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho ulioridhiwa na Baraza Kuu wa kuwavua uanachama yatakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

Mwananchi
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad