Bunge Lasimamisha Shughuli, Lajadili Upandaji bei ya Mafuta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MKUTANO wa saba kikao cha 16 cha Bunge la Tanzania leo Alhamisi kumesimamisha shughuli zake za kawaida na kuanza kujadili kupanda kwa bei za mafuta. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Ni baada ya Mbunge wa Kilindi (CCM) kutoa hoja ya kuahirisha shughuli za Bunge na kujadili suala la kupanda bei ya mafuta ambapo imefikia zaidi ya Sh.3,000 kwa mafuta ya petrol na dizel.

Baada ya kutoa hoja hiyo, Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameirihusu na wabunge wanachangia na kutoa ushauri wa nini cha kufanya.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad