Card B Afunguka "Usitamani Kuwa Maarufu Tamani Kuwa Tajiri"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



CardiB Anasema Kwamba Umaarufu Si Kitu Kizuri Kwa Upande Wake Na Kuwataka Watu Wasitamani Umaarufu bali Watamani Kuwa Matajiri

"Usitamani Kuwa Umaarufu, Tamani Kuwa Tajiri, Ukiwa Maarufu Huwezi Kuwa Huru, Huweza Kufanya Utani, Hata Kumasahihisha Mtu Yani Huwezi Kufanya Lolote ...Hakika Mimi Ni Mfungwa Mpuuzi Wa Umaarufu...Sina Sauti Tena, Siwezi Kusema Chochote Na Nitafuta Account Zangu Zote Kwenye Mitandao Ya Kijamii" - Cardi B
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad