Diamond Platnumz Alimuimbia Wema Sepetu Nyimbo Tamu, Chungu na Chachu..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ujana, mapenzi na ustaa.

Maneno hayo machache yanatosha kuelezea maisha ya Wema Sepetu na Diamond Platnumz. Kama hukufaidi drama za hawa wawili, bado hujalijua vizuri game la muziki wa kizazi kipya.

Kwa ufupi sana, hii ndiyo couple namba mbili iliyokuwa na nguvu kuliko zote katika historia ya tasnia hiyo pendwa Tanzania. Couple inayoendelea kushikilia namba moja ni Ile ya Juma Nature na Sintah.

Tofauti na Nature aliyemuimbia Sintah nyimbo za hasira zisizozidi 3, Diamond yeye alitengeneza nyimbo nyingi za nyakati zote; chungu, tamu na chachu.

Nyimbo zenyewe:

1. Kizazizai

2. Moyo wangu

3. Nimpende nani

4. Nataka Kulewa

5. Nitampata wapi

6. Chanda chema

7. Mdogomdogo

8. Number One

9. Ukimuona

10. Mawazo

Kwa haraka haraka, nyimbo hizo ambazo zote zilihit zilimlenga Wema Sepetu kwa namna moja ama nyingine. Kazi kwenu wachambuzi kuzidadavua na ikibidi kurekebisha, kujazia au kupunguza.

By Interest

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad