Edo Kumwembe "Vile Naangalia Baadhi ya Viongozi wa Zamani wa Simba Wakipambana Kuivuruga Timu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


From Edokumwembe

"Vile naangalia baadhi ya viongozi wa zamani wa Simba wakipambana kuivuruga timu yao....wanahaha kweli kweli. Nilidhani Katiba mpya waliopitisha itaondoa haya mambo. Aah wapi. Simba wanamaliza wa pili katika Ligi, robo katika Shirikisho, nusu katika FA...lakini watu wanataka kuifanya ionekane imefanya vibaya kama Prisons tu.... "Edo Kumwembe
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad