Fisi Tena Bariadi, Mtoto Mwingine Ashambuliwa na Kujeruhiwa Vibaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Matukio ya Fisi kushambulia watoto na kuwajeruhi vibaya maeneo ya usoni na kichwani yamezidi kushamili katika mji wa Bariadi, ambapo mapema asubuhi ya leo mtoto mwingine jina ni Gindu Kululu (06) mkazi wa mtaa wa Iyoma kata ya Somanda Halmashauri ya Mji wa Bariadi ameshambuliwa na myama huyo.


Wazazi wa mtoto huyo wanaeleza kuwa majira ya Saa 8:00 kamili Asubuhi nyumbani mtoto huyo akiwa na mdogo wake nje, gafla alivamiwa na fisi huyo ambaye alitokea vichaka vilivyopo karibu na nyumbani.


Mganga Mfawidhi Hospitali ya Mji wa Bariadi Emmanuel Costantine amethibitisha kupokelewa kwa mtoto huyo na hali yake ilivyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad