Fred Vunja Bei "Kwa Mtu Atakaye Wadate Tunda na Whozu Ajue Amenunua Shamba Lenye Mgogoro"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hivi karibuni kumekuwa na taarifa zinazoendelea kwenye Social networks kuwa mastaa Whozu pamoja na mzazi mwenzie, Tunda hawapo pamoja, na ni couple ambayo imekuwa na ups and downs nyingi sana.


Hasa hii jana Mei 13 kupitia U-HEARD na Soudybrown ,Mkurugenzi na mmiliki wa Kampuni ya Vunja Bei ambaye pia ni kaka yake na Whozu (Rafiki wa kaka yake Whozu, Frank Knows), Fred Vunjabei amedai ni ngumu sana Whozu na Tunda kuachana maana ni watu wanaopendana hisivyo elezeka, huku akitoa angalizo kuwa endapo kuna mtu atatokea kuwadate,yani Mwanamke ataye mdate Whozu na Mwanaume atayemdate Tunda, ajue tu kanunua Shamba lenye mgogoro maana ni muda wowote mmoja wapo kati yao anarudi kwa mwenzie.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad