AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwimbaji wa muziki nchini, msanii Gift Stanford maarufu Gigy Money amefunguka kuwa ameshaolewa na mpenzi wake, huku akisisitiza sio kila jambo katika maisha yake la kutangaza.
Kauli hiyo ya Gigy inakuja mara baada ya shabiki mmoja kumtaka kutomkutanisha binti yake, Mayra na kila mwanaume anayekuwa naye katika mahusiano.
"Haina haja ya kumkutanisha binti yako kwa kila mwanaume unaekuwa nae", aliandika Shabiki. Gigy alimjibu kwa kumwambia, "Tumeoana mpendwa, sio lazima kila kitu nitangaze".
Ikumbukwe, Mayra ni binti wa Gigy Money na mtangazaji wa Clouds Fm, Mo Jay.
✍️: @omaryramsey
#SNSEnt
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK