H Baba Ampa SIFA za Kumwaga Diamond Platnumz "Nimelipwa Mamilioni Kuwa Balozi wa Wasafi Bet"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka kwa mwanamuziki h.baba_ ameweka wazi kulipwa kiasi kikubwa cha fedha na wanamuziki @diamondplatnumz kuwa balozi wa kampuni yake ya michezo ya kubashiri ya #wasafibet.



H.baba ambae ni mwenyeji wa mwanza ambapo diamond platnumz ameacha historia kwa kufanya show kubwa ya kuitambulisha EP yake ya FOA ,ametumia instagram page yake kutoa pongezi na shukrani kwa msanii huyo na uongozi mzima wa WcB, ambao awali alionekana kuwarushia maneno kwa ajili ya kumsapoti mwanamuziki @harmonize_tz
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad