AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoka kwa mwanamuziki h.baba_ ameweka wazi kulipwa kiasi kikubwa cha fedha na wanamuziki @diamondplatnumz kuwa balozi wa kampuni yake ya michezo ya kubashiri ya #wasafibet.
H.baba ambae ni mwenyeji wa mwanza ambapo diamond platnumz ameacha historia kwa kufanya show kubwa ya kuitambulisha EP yake ya FOA ,ametumia instagram page yake kutoa pongezi na shukrani kwa msanii huyo na uongozi mzima wa WcB, ambao awali alionekana kuwarushia maneno kwa ajili ya kumsapoti mwanamuziki @harmonize_tz
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK