H Baba "Diamond Platnumz Una Roho ya Kipekee Peponi Moja kwa Moja"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii H Baba amekiri kumkosea Diamond Platnumz wakati akiwa anamzungumzia kwenye baadhi ya interview na mitandao ya kijamii.

Picha ya H Baba kushoto akiwa na Diamond Platnumz upande wa kulia

H Baba ameshea ujumbe huo kwenda kwa Diamond kwa kuandika kwamba

"Binadamu tujifunze kuomba msamaha kwa mtu uliemkosea, nakiri mbele yenu nilimkosea sana Diamond Platnumz narudia nisamehe. Ukweli nimeujua we ni mtu wa watu kweli kweli"

"Una roho ya kipekee sana sijawai ona, kwa kweli wewe ni peponi moja kwa moja, kumsamehe H Baba peponi moja kwa moja Sallam SK, Babutale na Mkubwa Fella peponi moja kwa moja"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad