AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa klabu ya Yanga Haji Manara ameeleza kuhusu kusimamishwa kwa wachezaji wa Klabu hiyo Saido Ntibazonkiza na Dickson Ambundo.
"Ni kweli wachezaji hawa kocha Nabi ameamua kuwasimamisha kwa wiki hii na baadae wakija Dar Es Salaam, watazungumza nae pamoja na uongozi kuona nini kitakachoendelea" amesema Haji Manara
"Ni kweli Saido na Mwenzake baada ya kumaizika kwa mchezo dhidi ya Biashara waliondoka kambini na wakarejea alfajiri hivyo kitendo hicho kimemfadhaisha kocha na uongozi wa klabu ya Yanga kwa ujumla" Amesema Haji Manara
Times FMMiche
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK