Haji Manara Atoa Neno Baada ya Kocha Wasimba Kufukuzwa "Wewe ni Kocha Bora Mwenye Nidhamu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Haji Manara Atoa Neno Baada ya Kocha Wasimba Kufukuzwa:

"Kocha Bora mwenye nidhamu kubwa na mapenzi mazito na football pamoja na Wachezaji wake anaondoka nchini.

Pamoja na kufanya kazi katika Mazingiza magumu ya kukosa Proper Management iliyogubikwa na Migogoro isiyoisha, Jamaa aliiwezesha Club yake kufika Robo fainali ya Shirikisho.

Binafsi ntammiss kwa uungwana wake na ucheshi wake.

Kila la kheri Rafiki yangu Pablo, Kwa msimu huu tu wewe ni Kocha wa pili kufukuzwa na naamini hadi msimu uishe tutasikia mengi'
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad