AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kocha Bora mwenye nidhamu kubwa na mapenzi mazito na football pamoja na Wachezaji wake anaondoka nchini.
Pamoja na kufanya kazi katika Mazingiza magumu ya kukosa Proper Management iliyogubikwa na Migogoro isiyoisha, Jamaa aliiwezesha Club yake kufika Robo fainali ya Shirikisho.
Binafsi ntammiss kwa uungwana wake na ucheshi wake.
Kila la kheri Rafiki yangu Pablo, Kwa msimu huu tu wewe ni Kocha wa pili kufukuzwa na naamini hadi msimu uishe tutasikia mengi'
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK