Haji Manara Atupa Dongo Lingine Simba "Sio Mbaya Mtajipanga Kwa Miaka ijayo Mkipata Akili na Kupunguza Uchawi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Haji Manara Ameandika haya Kupitia Instagram:

"Sio mbaya mtajipanga Kwa Miaka ijayo mkipata akili na kupunguza uchawi.

Halaf Wananchi mbona mna siri sana, kumbe katika mechi sita zilizopita za Makolo, wameshinda mechi moja tu na sare tano? Halafu hamsemi😳

Makolo 0 Polisi 0

Makolo 0 Yanga 0

Makolo 2 Namungo 2

Makolo 4 Ruvu 0

Makolo 1 Azam 1

Makolo 1 Geita 1

Halaf na nyie wa Michongo mmeuchuna kimyaaaaaa,Yanga tulitoa Sare Tatu tu, kelele kibao na mkatuandikia makala za kila aina.

Kwanza mlinielewa niliposema mwanzo wa msimu lile neno Return of the Champions?

Na ole wenu leo tukute Majivu CCM Kirumba.

Che Che Che 

Wanayaona Macho yao

Pumzi ya Kitonsa 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad