Harmonize "Nilipotoka WCB Kila Mtu Alisema Nitakufa Kimuziki Lakini Leo ni Mshindi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Usiruhusu mtu akwambie kwamba huwezi, amka na uzifuate ndoto zako. Nitazame mimi, nilipoanza safari yangu ya muziki, kila mmoja alikuwa akinikejeli kwamba nitafanya nini kwenye kiwanda cha muziki? Nikawaambia nitafanya nitakachoweza kufanya.”

“Na nilipotoka kwenye Label yangu ya zamani (@wcb_wasafi) kila mmoja alikuwa akisema nimeisha, nitakufa Kimuziki. Nitazame sasa hivi, Mimi ni mshindi. Na Konde Gang ni Label namba moja Tanzania kwa sasa, Afrika Mashariki na tunaitafuta Afrika sasa hivi.” - Harmonize
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad