google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Hatimaye Mnunuzi wa Timu ya Chelsea Apatikana...Wakamilisha Hatua za Mwisho | UDAKU SPECIAL

Hatimaye Mnunuzi wa Timu ya Chelsea Apatikana...Wakamilisha Hatua za Mwisho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Taarifa rasmi kutoka kwa klabu ya Chelsea ni kuwa tayari Mmiliki mpya amepatikana, Todd Boehly akiongozana na wenzie kama Clearlake Capital, Mark Walter na Hansjoerg Wyss, ambapo watatoa kiasi cha Pauni 2.5 Billion kununua hisa za klabu hiyo

Kiasi hicho cha pesa kitaingizwa kwenye akaunti za Roman Abramovich ambazo zimefungwa na mamlaka ya Uingereza, baada ya serikali kuthibitisha muamala huo Roman Abramovich ataitoa pesa yote hiyo kuelekea kwa wahanga wa vita wa Ukraine (Roman ametunza maneno yake, amesamehe deni na hataki hata mbuni ya mauzo)

Huku pia wamiliki hao wapya watawekeza tena Pauni 1.7 billion kama ambavyo Roman Abramovich aliagiza kwa ajili ya soka la vijana, wanawake na Chelsea Foundation

Makubaliano yote na makabidhiano yanatarajia kukamilika mwishoni mwa mwezi huu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad