AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gari aina ya Mercedes Benz, Class C ndiyo itakuwa zawadi ya kwanza ya mshindi wa mashindano ya Miss Tanzania 2022 yatakayofanyika Ijumaa, katika ukumbi wa Mlimani City.
Zawadi hiyo ina thamani ya zaidi ya Tsh Milioni 40 na kitita cha shilingi Tsh milioni 10 na mshindi wa pili ataondoka na Tsh milioni 5, wa tatu Tsh milioni 3 na wanne na watano milioni 1
Shindano hilo litaonyeshwa moja kwa moja kwenye king'ang'amuzi cha @Startimetz katika channel ya @stbongotv.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK