Hukumu ya KESI ya Mwijaku ya Kusambaza Picha za Utupu Mei 31

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga hukumu ya kesi inayomkabili, Mwembe Burton maarufu kama Mwijaku kuwa ni Mei 31, mwaka huu.


Mwijaku anakabiliwa na shtaka la kusambaza picha za utupu kwenye mitandao ya kijamii (Whatsapp) kati ya Septemba 17,2019 hadi Oktoba 2019 Jijini Dar Es Salaam kinyume na sheria za nchi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad