AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga hukumu ya kesi inayomkabili, Mwembe Burton maarufu kama Mwijaku kuwa ni Mei 31, mwaka huu.
Mwijaku anakabiliwa na shtaka la kusambaza picha za utupu kwenye mitandao ya kijamii (Whatsapp) kati ya Septemba 17,2019 hadi Oktoba 2019 Jijini Dar Es Salaam kinyume na sheria za nchi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK