Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA
Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA
Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga hukumu ya kesi inayomkabili, Mwembe Burton maarufu kama Mwijaku kuwa ni Mei 31, mwaka huu.
Mwijaku anakabiliwa na shtaka la kusambaza picha za utupu kwenye mitandao ya kijamii (Whatsapp) kati ya Septemba 17,2019 hadi Oktoba 2019 Jijini Dar Es Salaam kinyume na sheria za nchi.
0 Comments