Uchekeshaji wake umejaa ukakasi kwa wengi kutokana na umwagaji mauno hadharani na watu wakihisi uwenda si rijali, kwa upande wa Jackie anashangaa kuona Wakikatika wasanii kama Joti ni sawa ila akikatika yeye basi si riziki,lakini anacho angalia ni kuendelea kupiga kazi.
Sajomedia
HABARI HIZI ZA UDAKU ZINAPATIKANA KATIKA APP YA UDAKU SPECIAL, IDOWNLOAD>> HAPA BURE
0 Blogger:
Post a Comment