Jux na Mrembo Huddah Monroe wa Kenya ni Wapenzi?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


The African Boy Juman Jux na mrembo Huddah The Bosschick kutoka 254 Kenya wamezidi kuwaacha mashabiki midomo wazi mitandaoni kuhusu madai ya wawili hao kuzama penzini.

Jux amemtumia Huddah kama 'Video Queen' wa ngoma yake ya simuachi ambapo ameonekana kumkiss mdomoni jambo ambalo linasemekana limeongeza madai ya wawili hao kuwa ni wapenzi.

Hii sio mara ya kwanza kwa Jux kuhusishwa kuwa kwenye mahusiano na Huddah, story hizo zilianza baada ya Jux kuachana na Vanessa Mdee.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad