Kijana Mwenye Watoto 47 DUNIA Kote Adai Kukosa Mpenzi wa Kumuoa



Kyle Gordy (30), kutoka nchini Marekani mwenye watoto 47 ulimwenguni kote ambaye ni mfadhili wa mbegu za kiume (Sperm donor) amesema kwamba ameshindwa kumpata mwanamke wa kudumu naye kwenye mahusiano kutokana na mtindo wake wa maisha.

Kijana huyo amesema kwa sasa anatafuta mwanamke kwani yeye yupo tayari kuanzisha familia na kutulia, na mwanamke atakayempata inabidi amkubali jinsi alivyo.

Kyle Gordy, amesema kwamba amekuwa akitoa michango ya mbegu za kiume tangu akiwa na umri wa miaka 22, na kwa sasa anafanya kampeni yake kupitia mitandao ya kijamii.

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad