Kijana Mwenye Watoto 47 DUNIA Kote Adai Kukosa Mpenzi wa Kumuoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kyle Gordy (30), kutoka nchini Marekani mwenye watoto 47 ulimwenguni kote ambaye ni mfadhili wa mbegu za kiume (Sperm donor) amesema kwamba ameshindwa kumpata mwanamke wa kudumu naye kwenye mahusiano kutokana na mtindo wake wa maisha.

Kijana huyo amesema kwa sasa anatafuta mwanamke kwani yeye yupo tayari kuanzisha familia na kutulia, na mwanamke atakayempata inabidi amkubali jinsi alivyo.

Kyle Gordy, amesema kwamba amekuwa akitoa michango ya mbegu za kiume tangu akiwa na umri wa miaka 22, na kwa sasa anafanya kampeni yake kupitia mitandao ya kijamii.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad