Kimenuka Huko...Mwanamuziki H Baba Acharuka Adai Alipwe na Harmonize Haki yake Kwenye Wimbo wa Attitude

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamuziki mkongwe kwenye game ya bongofleva 𝐇.𝐛𝐚𝐛𝐚 kupitia ukurasa wake wa instagram,ameweka wazi kudai haki yake kutoka kwa mwanamuziki mwenzake 𝐇𝐚𝐫𝐦𝐨𝐧𝐢𝐳𝐞 ambae wamewahi kufanyanae kazi ya ushirikiano kupitia wimbo wa 𝐀𝐭𝐭𝐢𝐭𝐮𝐝𝐞 .


𝐇 𝐛𝐚𝐛𝐚 amedai kudhurumiwa haki /jasho lake kutokana na ushiriki wake katika wimbo wa 𝐚𝐭𝐭𝐢𝐭𝐮𝐝𝐞 kwa kutoambulia chochote kutokana na ushiriki wake upande wa audio na video na kusihi msanii huyo amlipe
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad