Klabu ya Yanga imetozwa faini ya kiasi cha Tsh. Milioni 2 kwa kosa Hili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya Yanga imetozwa faini ya kiasi cha Tsh. Milioni 2 kwa kosa la kuingia uwanjani kwa kutumia mlango usio rasmi katika uwanja wa Azam Complex Aprili 6, 2022 Aidha klabu hiyo imetozwa faini ya Tsh. Milioni 1 kwa kosa la mashabiki wao kumrushia chupa za maji mwamuzi Msaidizi wa mechi hiyo iliyomalizika kwa Yanga Kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji Azam Fc.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad