AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha Mbwana Makata na Meneja David Naftali wamefungiwa kwa kipindi cha miaka mitano (5) kila mmoja kwa kosa la kushawishi/kuamuru wachezaji wasiingie uwanjani kuanza mchezo Tukio lililosababisha mchezo usifanyike na kuchafua taswira ya Ligi.
Kamati ya masaa 72 imempa Namungo alama tatu na mabao matatu, baada ya kujiridhisha kuwa Mbeya Kwanza waligomea mchezo huo licha ya taratibu kuwa sawa dakika ya 23 ikiwa ni dakika saba kabla ya kutimu nusu saa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK