AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huko nchini Sudani Kusini, kondoo amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mwanamke mwenye umri wa miaka 45.
Kondoo huyo alikamatwa mwezi mmoja uliopita na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kumshambulia na kumjeruhi mwanamke anayefahamika kwa jina la Adhieu Chaping ambaye baadaye alifariki kwa majeraha hayo.
Mmiliki wa kondoo, Duony Manyang Dhal ameamriwa na mahakama kutoa ng'ombe watano kwa familia ya marehemu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK