Kumekucha..Simba Imepigwa FINE ya Milioni 23 Kwa Kufanya Matambiko Uwanjani South Africa Mechi Dhidi ya Orlando Pirates


Shirikisho la soka Afrika (CAF) limeipiga faini ya USD 10,000 (Tsh milioni 23.2) Club ya Simba ya Tanzania kwa kosa la kuwasha moto katika pitch ya uwanja wa Orlando kabla ya mechi yake ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika vs Orlando Pirates.

Kitendo hicho cha Simba ambacho wengi walikihusisha na imani za kishirikina kimefanya waadhibiwe kwa faini hiyo ambayo wanatakiwa kuilipa ndani ya siku 60.



______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad