AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa Instagram,mwanamitandao na mtangazaji, @mwijaku amedai picha mpya ya @harmonize_tz na @anjella_tz ambayo imepigwa wakiwa location,Bagamoyo kushoot Video ya wimbo wao wa Kioo, imepigwa na @kajalafrida .
“Maraaa paaaap @anjella_tz ana ujauzito wa @harmonize_tz hahaha ..! Msiwe na hofu huyo ni wifi yake @kajalafrida na alie piga picha na kusimamia hayo mapozi ni @kajalafrida mwenyewe . Proud of you @anjella_tz @harmonize_tz 🎬”
Huu unakuwa ni muendelezo wa zile tetesi zinazo sadikika Kajala karudiana na Konde Boy, ambapo mchekeshaji Stani Bakora pia alithibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Sajo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK