Lulu Michael "Hamuwezi Kuniharibia Ndoa yangu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MSANII wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu' amesema mtu yeyote anayefanya mambo ili kumharibia ndoa yake, ajue hatafanikiwa kwani mume wake anamfahamu vizuri na amemchunguza kabla hajamuoa.

Lulu amesema anasikitishwa na wanaomfuatilia maisha yake, wakati yeye hafuatilii maisha ya mtu yeyote.

"Mume wangu ananijua sana, hivyo maneno ya watu hayawezi kugombanisha ndoa yetu tunapendana na tushachunguzana sana.

“Anajuwa mengi mazuri na mabaya, ameniona na kunipenda nilivyo,'' amesema Lulu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad