Madrid wachemka kumnasa Mbappe dadika za mwisho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amewambia wachezaji wake na benchi la ufundi kuwa mshambuliaji wa PSG, Kylian Mbappe hatojiunga na timu hiyo.


Mabingwa hao wa LaLiga wameshindwa kunasa saini Mbappe dakika za mwisho baada ya kutakiwa kutoa paundi milioni 154 ili kupata huduma ya ‘top scorer’ huyo wa Ligue 1.

Mama mzazi wa Mbappe, Fayza Lamari siku ya Ijumaa amesema kuwa kijana wake ameshafanya hitimisho ya mazungumzo kwa klabu zote mbili.

Baada ya mchezo dhidi ya Real Betis, Perez alikitaarifu kikosi cha Carlo Ancelotti kuwa Mbappe hatojumuika nao kwa mujibu wa vyanzo kutoka ndani ya timu hiyo.


 
Inadaiwa Madrid ilikuwa tayari kutoa paundi milioni 126.7 ikiwa ni pamoja na mshahara na bonasi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad