google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mahakama Nchini Rwanda imemwachia kwa Dhamana Miss Rwanda 2017 | UDAKU SPECIAL

Mahakama Nchini Rwanda imemwachia kwa Dhamana Miss Rwanda 2017

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahakama nchini Rwanda imemwachia kwa dhamana Miss Rwanda 2017, Elsa Iradukunda, anayekabiliwa na mashtaka ya kutoa ushahidi wa uongo pamoja na kughushi nyaraka.

Kesi hiyo inahusishwa na mwandaaji wa mashindano ya ulimbwende, Dieudonne Ishimwe anayetuhumiwa kwa unyanyasaji wa kingono.

Ishimwe ni kiongozi wa kampuni ya Rwanda Inspiration Backup, inayoandaa mashindano hayo ya urembo ya kila mwaka ya Miss Rwanda.

Fahamu, Miss Rwanda ilianza kushiriki shindano la dunia la Miss World mwaka 2016, kwa mujibu wa tovuti ya kampuni hiyo. Inasifu shindano lake kuwa linaongoza kwa aubora katika nchi za Afrika Mashariki.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad