Majizo Atoa Sababu za Kuhairisha Tamasha la Harmonize la Afro East Carnival

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mmiliki wa Vituo vya kurushia matangazo vya EFM,E Digital na TV E (Vyombo vya habari), @majizzo ameweka wazi ni kwanini Tamasha la @afroeastcarnival la @harmonize_tz ambalo lilipangwa kufanyika 29 Mei, kuahirishwa. Majizzo ameandika

“Tumeshirikiana na @harmonize_tz kuandaa Afro East Carnival. Nampongeza sana Harmonize, yeye kama sehemu muhimu ya tukio hili amekamilisha kila alilotakiwa kufanya, na sisi wadau wengine tumefanya asilimia kubwa ya wajibu wetu.

Lakini binafsi nimetafakari tena, nimepata kiu ya kufanya jambo kubwa zaidi ya tulilokuwa tumepanga. Nimeona haja ya kuongeza vitu.

Litakuwa tamasha kubwa sana, na mimi ni tukio langu la kwanza ambalo linahusu muziki moja kwa moja kulifanya kwenye uwanja wa Uhuru. Hivyo kweli natamani makubwa zaidi : Stage kubwa zaidi, Sound na kila kitu, lakini kuwapa marafiki zetu wa Kimataifa nafasi ya kutuletea show kubwa zaidi.

Nashukuru Konde amenielewa, tumaehirisha Afro East Carnival. Tutafanya TAREHE 02/7.


Tunaomba radhi kwa kuwasubirisha ila ni kwamba nia njema zaidi🙏🏻”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad