Mapacha Tisa wa Kipekee Waliozaliwa kwa Wakati Mmoja Wanaendelea Vizuri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mapacha tisa wa kipekee waliozaliwa kwa wakati mmoja - wako "katika afya njema" wanaposherehekea siku yao ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza, baba yao ameambia BBC.

"Sasa wanatambaa. Wengine wanakaa na hata kutembea wakijishikilia mahali," alisema Abdelkader Arby, afisa wa jeshi la Mali.

Bado wako katika uangalizi wa kliniki nchini Morocco walikozaliwa.

Alisema mama yao Halima Cissé, 26, pia anaendelea vyema.

Kusoma kwa kina taarifa hii tembelea ukurasa wa bbcswahili.com

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad