AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima, ametoa pole ya shilingi laki moja kwa kila mwananchi aliyekatwa mapanga katika mtaa wa Mtongani Kunduchi, Dar es Salaam usiku wa kuamkia Mei 2, 2022.
Kiasi hicho cha pesa amekitoa leo Mei 4, 2022, baada ya mbunge huyo pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, kwenda kuwatembelea na kuwajulia hali waliojeruhiwa na vijana hao.
Jumla ya wananchi 19 katika mtaa huo walijeruhiwa kwa mapanga na vijana wanaodaiwa kuwa ni Panya road usiku wa kuamkia Mei 2, 2022.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK