MIRIAM ODEMBA ashambuliwa vikali baada ya kuendelea kumrushia vijembe HARMONIZE, mashabiki waja juu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MIRIAM ODEMBA ashambuliwa vikali baada ya kuendelea kumrushia vijembe HARMONIZE, mashabiki waja juu Baada ya Kuandika Huu Ujumbe Hapa Chini

MABIBI NA MABWANA TUENDELEE KUINJOY MUZIKI MZURI, BINADAMU SIO WATU WAZURI HUA WANAPENDA KUJIJALI WAO TU NDO HULKA YA BINADAMU UKIWA KARIBU NAO UTAONA UKATILI WAO, ROHO MBAYA WALIZO NAZO NA UNYAMA WALIO NAO SIO UNYAMA WA KUSEMA UNYAMA SANA NASEMEA UNYAMA WA KUOGOPWA LAKINI WANAPOKUJA KUONGEA KWENYE MEDIA UTAWAONA NI WATU SAFI, WATU WENYE HURUMA, WATU WANAOTOA MSAADA LAKINI KUMBE WANA MENO YA KULARUA WATU KAMA SIMBA WA PORINI WANAJIFUTA DAMU WAKIWA KWENYE CAMERA WALA UDHANII KWAMBA NI WALA NYAMA........LAKINI NDO HIVO BANA KWA SASA NAOMBA NIWATOE WASI WASI NDUGU ZANGU NA MARAFIKI ZANGU PAMOJA NA MASHABIKI ZANGU MIMI NIPO SAWA MAJUKUMU YANGU YA KAZI NA KAMA MAMA YANAENDELEA VIZURI SANA NAKUNYWA CHAMPAGNE,KIDOGO HUKU NIKIPANGA BAADHI YA MAFILE KWENYE DIGITAL SHELVES........USILAZIMISHE KUPEWA HESHIMA NA MTU ANAITWA BINADAMU LABDA HAWE MAMA YAKO NDIO HATAKUHESHIM LAKINI SIO (MTU )BAKI HATA NDUGU UBADILIKA,WEWE FANYA MAMBO YANAYOKULETEA HESHIMA KWA KUOMBA SANA MUNGU HIYO NDO SIRI YA KUPEWA HESHIMA EXPERIENCE THE BEST TEACHER "I'M SPEAKING WITH EXPERIENCE" I'M SPEAKING WITH EXPOSURE.............HII IKAE KICHWANI MWENU NILIZALIWA ODEMBA NITAKUFA ODEMBA. "Miriam ODEMBA Legendary Aka Mama @irispiedimonte


COMMENTS za Wadau Hizi Hapa Chini:

princess_essy_official "motivational speaker cos of Chinga. Lakini we wewe Dada punguza kimbelembele! Chinga is too young for u...just look for someone who fits u like h.baba hivi😂 tuachie Chinga wetu pls 🙏. Na Mambo ya harmo hutoyaweza! U only hurting yourself. Act like your age mamake. U past what u doing now ata wenzako wanakushangaa. Kajala didn't speak shit when she broke up with harmo, but look at u now. Katoto kazuri ka Chinga kashakuweka uendawazimu😂

rizzzy_wa_kishua "kondegang wamegoma kukupa kiki😂😂😂😂Usha zeeka km hbaba huna ishu tena tafuta malegend


jamila_two "Miriam Odemba ni mzuri. Ila kwanini unakabemenda katoto ka watu? Au hamnyanduani kweli? Ila mpenzi msomaji njoo nikutumie vitabu kama Sell like Crazy, Rich Dad Poor Dad, Intelligent Investor au kingine chochote. Ni bure. Utachangia bando tu.

123berther "Pumbavuuuu katika ujana wako kwa nin hujaolewa unalazimisha umbemende kaibra ka watu hakajawah kukupenda na hakakupendi hasira umalizie kwa harmo acha uzingaaaaa 😂😂😂😂😂 kwendraaaa bi kizeee kwendraaaa nenda kwa mjegeje ndo Rika lako😂😂😂😂

official_yuzo_boy 'Bibi ww harmonaize amekufanyia nn ibraah akukatae umnunie jeshiiiii mbwa Koko ww"

fikiliasando "Yan kuanzia Leo nimekuona mtu wa ajabu kweli Sasa mjeshi kakosea nn kisa kasema akapime DNA ndo kilicho kukasilisha kuona kama anakuhalibia ko we ulitaka amtelekeze mtoto

monicake155 "Bikizee mjinga huyu na sifa zake za kiwaki chefuuuu ebu tupishe sie kwa @kondegang umeyumba mimi km shabiki ya harmo hata useme nini kumuhusu wala hashtui @miriamodemba wewe ni mbwa na kinuka mdomo km kina lokole,hbaba na wengineo so usitutishe kwa upumbavu wako,bikizee Zima ovyoo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad