Mrembo Huyu Yamkuta Makubwa Baada ya Vibrator Kukwama Ukeni..Operation Yahusika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mapya yaibuka! Mrembo huyo kwa jina la Sophie(27) ameibuka kueleza aibu iliyompata baada ya ya kutumia vibrator kujiridhisha kimapenzi kisha ikakwama mwilini 😲😲

Sophie kutoka England amesema usiku wa manane wakati akiendelea na starehe zake hizo ghafla vibrator husika ikaenda mbali ikiwa bado imewashwa(on)

Sophie amesema alipatwa na muhaho wa aina yake kwani vibrator husika ilikuwa inatoa sauti akawa anazihisi hadi kwenye pingili za uti wake wa mgongo


Ameongeza kwamba ilibidi apige namba maalum kuomba msaada lakini alipoambiwa watu wa afya huduma za dharura wanakuja akakataa sababu ilikuwa usiku mwingi hata angeenda hospitali bado watu walikuwa wamelala kusingekuwa na huduma ya kueleweka

Amesema alijaribu kulala hivyo hivyo akiwa na vibrator mwilini lakini ikawa shida kupata usingizi lakini baadaye alipitiwa na usingizi na alipoamka vibrator husika ilikuwa bado mwilini ila imezima(off) akadhani labda betri imeisha


Hospitali alipofika walimpiga X-ray kama picha inavyoonesha hapo. Hospitali walijaribu kuitoa vibrator husika mara mbili kwa kutumia mkono lakini ilishindikana ikabidi afanyiwe upasuaji ndio ikatolewa

Alipoamka baada ya kufanyiwa upasuaji, aliiona vibrator husika mezani katika beseni na alipojaribu kuiwasha ikawaka tena 😲

Kwasasa amekoma baada ya kupatwa na kisanga hicho kilichomfanya aponee chupuchupu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad