Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. "Msamaha Hutolewa kwa Mwenye Kuomba Msamaha"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Saa chache baada ya Baraza kuu la CHADEMA kuwafukuza rasmi Halima Mdee na wenzake 18 kutoka kwenye ukurasa wa Twitter wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameandika
-
“Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. Msamaha hutanguliwa na kukiri makosa na kuomba radhi badala ya kiburi cha dhambi, upotovu na upotevu.
-
“Wakati mwingine hukumu na adhabu ni msingi wa haki, ukweli, nidhamu na maadili. Kukosea ni ubinadamu, kujikosoa ni utu.”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad