Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. "Msamaha Hutolewa kwa Mwenye Kuomba Msamaha"


Saa chache baada ya Baraza kuu la CHADEMA kuwafukuza rasmi Halima Mdee na wenzake 18 kutoka kwenye ukurasa wa Twitter wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameandika
-
“Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. Msamaha hutanguliwa na kukiri makosa na kuomba radhi badala ya kiburi cha dhambi, upotovu na upotevu.
-
“Wakati mwingine hukumu na adhabu ni msingi wa haki, ukweli, nidhamu na maadili. Kukosea ni ubinadamu, kujikosoa ni utu.”

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad