google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Msemaji wa Simba Achafukwa Adai Ligi Yetu Kuu ni Dhaifu Time Nyingi Zinagombania Kushindwa | UDAKU SPECIAL

Msemaji wa Simba Achafukwa Adai Ligi Yetu Kuu ni Dhaifu Time Nyingi Zinagombania Kushindwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka Kwa Msemaji wa Simba ameandika haya: 

"Katika timu 16, timu 14 zinaweza kushuka daraja

Hii sio aina ya ligi tunayoihitaji haiwezekani timu nyingi zigombanie kushindwa

Ligi yenye ushindani ni Ile ambayo timu nyingi zinagombania ubingwa

Timu nyingi Msimu huu zimekua dhaifu, tupo round ya 22 lakin ni timu tatu tu zimefikisha point 30+

Msimu uliopita hadi kufika round ya 22 japo timu zilikua nyingi lakini timu 7 zilikua na points 30+

Hii ni hatari kwa sababu Bingwa anaweza kupatikana kwa kufunga waidhaifu wengi

Najua utauliza kwanini na wewe usiwafunge hao dhaifu wengi Ili uwe Bingwa, ukweliii ni kwamba katika hizo mechi zetu dhidi ya timu dhaifu nasi tulitanya udhaifu"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad