Mtanzania auawa na Polisi Marekani, alikuwa Milionea na Mmiliki wa website Maarufu ya video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rogers Kwaruzi, 30, Mtanzania aliyehamia Marekani akiwa mdogo, ametambulika kuwa ndiye aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi huko Atlanta, Georgia Jumatano ya May 4, 2022. 

Kyaruzi alikuwa milionea ambaye alimiliki tovuti ya flyheight.com na alikuwa akijihusisha na biashara za real estate nchini humo. Sky amekuandalia ripoti ya kina kuhusiana na tukio hilo la kusikitisha.VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad