google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mtoto Mchanga wa Mbunge Aliyezikwa Hivi Karibuni Afariki Dunia | UDAKU SPECIAL

Mtoto Mchanga wa Mbunge Aliyezikwa Hivi Karibuni Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtoto mchanga aliyeachwa na marehemu Mbunge wa viti maalum mkoa wa Rukwa Irene Ndyamkama, amefariki dunia jana Aprili 30, 2022, baada ya kuishi kwa siku saba.

Mbunge Irene alifariki dunia Aprili 24, 2022, katika hospitali ya Tumbi wakati akipatiwa matibabu na alizikwa Aprili 29 mwaka huu kijijini kwa mama yake Isinde, Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad