AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji na mjasiriamali maarufu Muna Love amefunguka kwa uchungu na kushangazwa baada ya taarifa zilizoenezwa wiki kadhaa nyuma kuwa amefariki dunia.
Kupitia kwenye ukurasa wake maalum wa Instagram Muna ameshangazwa na na kuhoji nia ya taarifa hizo zilizoenezwa na moja ya chaneli YouTube.
“Mimi sitakufa bali nitaishi ili kutangaza ukuu wa bwana, nikimaliza kazi basi nitaenda kupumzika, ila kwa sasa bado nipo sana tu mi nitakufa nikiwa mzee sana,
Na nyie mnaoniombea hili Mungu awabariki na kuwapa maisha marefu nimetumiwa sasa hivi nimebaki sina la kuwaambia ila Mungu atashughulika na ninyi, hata kama hunipendi ndio uniuwe nikiwa hai ?” amehoji Muna.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK