Mwanamke wa Miaka 56 Atuhumiwa Kulazimisha Kufanya Mapenzi na Mtoto wa Miaka 8

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mwanamke wa Miaka 56 Atuhumiwa Kulazimisha Kufanya Mapenzi na Mtoto wa Miaka 8

Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Desderia Mbwela (56) Mkazi wa Kijiji cha Lumuli, Manispaa ya Iringa anashikiliwa kwa tuhuma za kulazimisha kufanya mapenzi na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 8

Kamanda wa Polisi Iringa, Allan Bukumbi amesema "Mwanamke huyo alimshika mtoto huyo anayesoma Darasa la Tatu kwa nguvu kisha kumvutia kichakani na kumlazimisha afanya naye mapenzi. Desderia tumemshikilia kwa uchunguzi zaidi"

-

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad