AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki Fela Kuti, nguli wa miondoko ya Afrobeat kutoka Nigeria aliweza kuwaoa wachezaji wake dansi 27 katika siku moja.
Fela aliwaita wazee 12 wa kimila waweze kusimamia sherehe yake, iliyofanyika katika hoteli moja ya kifahari iliyoko mjini Lago uko Nigeria February 20, 1978.
Nguli huyo aliwachukua wake zake wote 27 kwa fungate kuelekea nchini Ghana, hata hivyo Fela mnamo mwaka 1986 aliwakataa wake zake hao wote kwa kudai kuwa "Ndoa inaleta wivu na ubinafsi sana".
Swali: Je! kuwa na wanawake wengi, kwa mwanaume kunaweza kumpa furaha?
✍️ Na @mtumakiniart
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK