Mwanamuziki Kendrick Lamar Aweka Umaarufu Wake Pembeni Ghani, Ajichanganya na Watu wa Kawaida Mtaani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya kuachia Album yake #MrMoraleAndTheBigSteppers inayoendelea kufanya poa katika platform mbalimbali za muziki duniani, Rapa @kendricklamar ametua nchini Ghana 🇬🇭

Lakini kitu kilichowashangaza watu wengi kutoka kwa Rapa huyo mkubwa duniani ni jinsi alivyouweka umaarufu wake pembeni na kujichanganya na watu wa kawaida kabisa.


Akiwa nchini humo (Ghana), Rapa huyo ameonekana akijichanganya na watu wa kawaida na akijishughulisha kwenye shughuli mbalimbali pamoja na watu kama vile kucheza mpira bila kujali umaarufu wake.

Watu mbalimbali wamepata nafasi ya kuongea nae pamoja na kupiga naye picha huku wengi wakimsifu kwa nidhamu yake na ustaarabu.


Je ni msanii gani maarufu unayemjua ambaye hajali umaarufu wake akiwa na watu!? Mtag hapa tumjue

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad