Mwijaku "Kajala Tayari Amerudi Mjengoni kwa Msanii Harmonize na Rayvanny Ameachwa na Paula"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mujibu wa Mwanamitandao,mtangazaji wa Clouds Media na msemaji wa maisha ya watu, DC Mwijaku amedai Kajala tayari amerudi mjengoni kwa msanii Harmonize. Akilithibitishia dawati la Leo tena ya Clouds Fm, Mwijaku amedai hivi karibuni alivyoenda kwa Harmonize alikutana na Kajala na wakasalimiana ila akanyang'anywa simu hasichukue Video hadi wao watakapo amua kuweka wazi.

Kuhusu Paula, Mwijaku amedai si muda kuna Alphad yake inanunuliwa na Harmonize huku akithibitisha kuwa ,Paula na Rayvanny walishabwagana na Chui amerudi kwa Fahyvanny.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad